Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Gallery. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Gallery. Onyesha machapisho yote
MISS MAGOGONI 2017

MISS MAGOGONI 2017

Haya sasa hatimaye ile Siku  ya kumtafuta miss Magogoni 2017/18 inakaribia kama picha inavyo elezea hapo juu ni tarehe 9 ya mwezi wa nne mahali ni pale pale wanapokutana wajanja wa mjini @maisha_basement  Dar @maishaclubtz wasanii watakao Fanya usiku wako kua na furaha ni @youngdaresalama #pakarapa baada ya kupata furaha utapata #arosto kutoka kwa @chinbees pia @dullamakabila atakuuliza kama #umeulamba.pia  special appearance by @rossendauka 
Tiketi zinapatikana 
@yahayabotique na @dsmtapsso chuoni no:66  Unaanzaje kukosa kwa mfano.
MKUTANO WA WABUNGE (MATUKIO KATIKA PICHA)

MKUTANO WA WABUNGE (MATUKIO KATIKA PICHA)

Mwenyekiti wa kamati ya muda ya kumtafuta Spika ya Bunge la wanafunzi chuo cha utumishi wa umma
akitambulishwa baada ya bunge kumchagua kusimamia kazi hiyo
\
Mh:Waziri mkuu wa serikali ya chuo cha utumishi wa umma Mh. Fransic Akitoa mada juu ya kuwapata washindi wa nafasi za \Spika na Naibu spika
Nakusogezea picha ya wagombea wa kiti cha uspika wa bunge na Naibu spika
Mbunge toka Idara ya IT
Mh:waziri wa elimu(TAPPSO) akifuatilia kwa umakini kikao.