MKUTANO WA WABUNGE (MATUKIO KATIKA PICHA)

Mwenyekiti wa kamati ya muda ya kumtafuta Spika ya Bunge la wanafunzi chuo cha utumishi wa umma
akitambulishwa baada ya bunge kumchagua kusimamia kazi hiyo
\
Mh:Waziri mkuu wa serikali ya chuo cha utumishi wa umma Mh. Fransic Akitoa mada juu ya kuwapata washindi wa nafasi za \Spika na Naibu spika
Nakusogezea picha ya wagombea wa kiti cha uspika wa bunge na Naibu spika
Mbunge toka Idara ya IT
Mh:waziri wa elimu(TAPPSO) akifuatilia kwa umakini kikao.

SHARE THIS
Previous Post
First