Karibu tutengeneze #HISTORIA nyingine baada ya Miss Magogoni kupita sasa tuungane kwa pamoja kuwakaribisha wanafunzi wenzetu walioanza masomo mwezi huu. Ndani ya MAISHA BASEMENT CLUB kwa pamoja tutaweza kucheza kwa pamoja,kufahamiana kwa pamoja lakini
pia kutazama bonge la Burudani kwa pamoja na mwisho kutazama#BIGSUPRISE kutoka ndani
#BIGARTIST wa BONGO FLEVA
TICKET ZINAPATIKA : TAPSSO ROOM 66
KWA MAWASILIANO : 0717425151 Or 0716297346
Author: TAPSSO HABARI NA MAWASILIANO
Related Posts
Some simillar article from this label, you might also like
- Blog Comments
- Facebook Comments
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
