Featured Posts

Most selected posts are waiting for you. Check this out

WELCOME 1ST YEAR  BASH

WELCOME 1ST YEAR BASH

Karibu tutengeneze #HISTORIA nyingine baada ya Miss Magogoni kupita sasa tuungane kwa pamoja kuwakaribisha wanafunzi wenzetu walioanza masomo mwezi huu. Ndani ya MAISHA BASEMENT CLUB kwa pamoja tutaweza kucheza kwa pamoja,kufahamiana kwa pamoja lakini
pia kutazama bonge la Burudani kwa pamoja na mwisho kutazama#BIGSUPRISE kutoka ndani
#BIGARTIST wa BONGO FLEVA
TICKET ZINAPATIKA : TAPSSO ROOM 66
KWA MAWASILIANO : 0717425151 Or 0716297346
MISS MAGOGONI 2017

MISS MAGOGONI 2017

Haya sasa hatimaye ile Siku  ya kumtafuta miss Magogoni 2017/18 inakaribia kama picha inavyo elezea hapo juu ni tarehe 9 ya mwezi wa nne mahali ni pale pale wanapokutana wajanja wa mjini @maisha_basement  Dar @maishaclubtz wasanii watakao Fanya usiku wako kua na furaha ni @youngdaresalama #pakarapa baada ya kupata furaha utapata #arosto kutoka kwa @chinbees pia @dullamakabila atakuuliza kama #umeulamba.pia  special appearance by @rossendauka 
Tiketi zinapatikana 
@yahayabotique na @dsmtapsso chuoni no:66  Unaanzaje kukosa kwa mfano.
MAGOGONI MAGAZINE

MAGOGONI MAGAZINE

MAGAZINE PAGE YA MBELE(FRONT PAGE)
Tarehe 16 ya mwezi 3 mwaka huu TAPSSO wanarudi tena kwenye Headline baada ya kuzindua Rasmi gazeti la wanafunzi wa chuo cha magogoni linalofahaamika kama MAGOGONI MAGAZINE
kwa kuhakikisha habari zinawafikia wanafunzi wote na kwa kulitazama hilo Serikali ya wanafunzi TAPSSO imekusogezea habari zote za wiki ndani ya gazeti la chuo.
MWONEKANO WA NDANI WA MAGOGONI MAGAZINE
Ndani ya gazeti hili litajazwa habari za moja kwa moja zinazohusu wanafunzi kwa mfano wanafunzi wenye majina makubwa wanafunzi wenye followers wengi na pia walimu. Huku likiendelea kusisitiza wanafunzi kujituma kwenye masomo ili waweze kupata ujuzi wao. Wizara ya Habari na Mawasiliano Inatarajia kuendelea na kampeni zake za kuhakikisha wanafunzi wote wanafikiwa kiurahisi na mwisho. Kwa niaba ya Mh. Raisi wa Serikali ya wanafunzi wa chuo cha Utumishi wa Umma Wizara ya habari inaomba kukulibisha kwenye Mbao za matangazo ili kuweza kupata kulisoma Magazine hii.
MKUTANO WA WABUNGE (MATUKIO KATIKA PICHA)

MKUTANO WA WABUNGE (MATUKIO KATIKA PICHA)

Mwenyekiti wa kamati ya muda ya kumtafuta Spika ya Bunge la wanafunzi chuo cha utumishi wa umma
akitambulishwa baada ya bunge kumchagua kusimamia kazi hiyo
\
Mh:Waziri mkuu wa serikali ya chuo cha utumishi wa umma Mh. Fransic Akitoa mada juu ya kuwapata washindi wa nafasi za \Spika na Naibu spika
Nakusogezea picha ya wagombea wa kiti cha uspika wa bunge na Naibu spika
Mbunge toka Idara ya IT
Mh:waziri wa elimu(TAPPSO) akifuatilia kwa umakini kikao.